Full width home advertisement

Travel the world

Post Page Advertisement [Top]



Club ya FC Barcelona ya Hispania usiku wa October 24 2018 ilianza maisha rasmi bila ya uwepo staa wao Lionel Messi ambaye kwa sasa anauguza jeraha lake la mkono wa kulia litakalomuweka nje ya uwanja kwa wiki tatu.
Messi akiwa jukwaani leo ameishuhudia club yake ikicheza game yake ya tatu ya UEFA Champions League hatua ya makundi dhidi ya Inter Milan ya Italia, pamoja na Barcelona kumkosa Messi mchezo ulimalizika kwa FC Barcelona kushinda kwa magoli 2-0.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]